Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yaanza kuboresha huduma za matibabu kwa wazee.

Na Barnabas kisengi Dodoma  Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeanza kufanya ufuatiliaji  wa maelekezo yake  katika kuboresha huduma za matibabu kwa wazee kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima alipotembelea hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma na kujionea jinsi