Na Barnabas kisengi Dodoma Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeanza kufanya ufuatiliaji wa maelekezo yake katika kuboresha huduma za matibabu kwa wazee kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Dkt. Dorothy Gwajima alipotembelea hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma na kujionea jinsi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed